Dar es Salaam, 08 Septemba, 2022 - 

Wizara ya Afya Tanzania inaendelea kukuletea taarifa kuhusu hali halisi ya maambukizi ya Ugonjwa wa Virusi vya Korona UVIKO-19 kama inavyofanyika nchi nyingine duniani.

Taarifa hizo zinaelezea pia hatua zinazochukuliwa katika kuzuia maambukizi hayo.

Kwa taarifa zaidi tembelea tovuti ya Wizara ya Afya Tanzania mara kwa mara - Home|Ministry of Health (moh.go.tz).

Ubalozi wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Canada utaendelea kuwasilisha taarifa hizo kwenye tovuti yake.